Picha inayohusiana

*NENO LA MUNGU LINASEMA YA KUWA: HAIJALISHI KWAMBA WATAKUAMINI AU LA! -MTU WA MUNGU HAPASWI KUWA MWENYE MANENO MENGI!*
*Bali maneno yenu yawe Ndiyo, ndiyo; Siyo, siyo; kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa yule mwovu. Mathayo 5:37*
1 Ni nani aliyesadiki habari tuliyoileta? Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?
Isaya 53:1
************************************************
Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi. Mathayo 6:7
Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa. Mathayo 12:37
Lakini akatoka, akaanza kuhubiri maneno mengi, na kulitangaza lile neno, hata Yesu asiweze tena kuingia mjini kwa wazi; bali alikuwako nje mahali pasipokuwa na watu, wakamwendea kutoka kila mahali. Marko 1:45
17 Basi, nilipokusudia hayo, je! Nalitumia kigeugeu? Au hayo niyakusudiayo, nayakusudia kwa jinsi ya mwili kwamba iwe hivi kwangu, kusema Ndiyo, ndiyo, na Siyo, siyo? 2 Wakorintho 1:17
18 Lakini kama Mungu alivyo mwaminifu, neno letu kwenu si Ndiyo na siyo. 2 Wakorintho 1:18
19 Maana Mwana wa Mungu, Kristo Yesu, aliyehubiriwa katikati yenu na sisi, yaani, mimi na Silwano na Timotheo, hakuwa Ndiyo na siyo; bali katika yeye ni Ndiyo. 2 Wakorintho 1:19
20 Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni Ndiyo; tena kwa hiyo katika yeye ni Amin; Mungu apate kutukuzwa kwa sisi. 2 Wakorintho 1:20
*Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolea munyu, mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.*
Wakolosai 4:6
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥